SERIKALI YA KAUNTI YA KAKAMEGA YANUNUA DAWA ZA MILIONI SITA
Ni afueni kwa wagonjwa na wakaazi wa kaunti ya kakamega baada ya Serikali ya kaunti hiyo kununua dawa za kima cha shilingi milioni sita za hosipitali kuu ya kaunti hiyo.
Gavana wa kaunti Hiyo Fernandez Barasa akitoa onyo kali kwa wasimamizi wa vituo vya afya vya kaunti hiyo dhidi ya kuwatuma wagonjwa kununua dawa kwingine na kwamba watakaopatikana wakifan ya hivyo watakabiliwa kwa m ujibu wa sheria.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































