#Local News

SERIKALI YALINDA HAKI NA USALAMA WA WAHAMIAJI

Wahamiaji wana mchango mkubwa katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi, hivyo serikali imeanzisha mikakati ya kuimarisha usalama wao.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Idara ya Uhamiaji, George Owili, juhudi hizi zinajumuisha kulinda haki za raia wa kigeni wanaoingia nchini pamoja na Wakenya wanaosaka ajira nje ya nchi.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *