#Local News

MABALOZI WA MATAIFA WAWASILI KATIKA IKULU YA NAIROBI

Mabalozi wa mataifa mbali mbali wanaendelea kuwasili katika ikilu ya Nairobi , rais Ruto akimpokea balozi wa taifa la Tunisia ameahidi kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia katika taifa la kenya na Tunisia kwa upande wake balozi wa Tunisia Anouar Ben Youssef ameahidi kuwa Taifa lake litashirikiana na Kenya katika sekta mbali mbali kufuatia uhusiano wa kidiplomacia wa muda mrefu kati ya mataifa hayo mawili.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *