#Local News

ANGUKA PEKEE YAKO, UDA KWA MALALA

Chama cha UDA kupitia kwa kaimu katibu mkuu Hassan Omar kimemuonya aliyekuwa kaimu katibu mkuu wa chama hicho Cleophas Malala kutohusisha masaibu yake na mwenyekiti wa UDA Cecil Mbarire na kiongozi wa walio wengi bungeni Kimani Ichung’wa.

Kupitia taarifa, Omar amepuzilia mbali madai ya Malala kwamba kulikuwa na njama ya kumbandua kutoka mamlakani naibu rais Rigathi Gachagua, akisema Mbarire hangehusika kwani yeye si mbunge.

Aidha, Omar ameshikilia kwamba Malala alitimuliwa kisheria, na uamuzi huo kuidhinishwa na msajili wa vyama vya kisiasa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ANGUKA PEKEE YAKO, UDA KWA MALALA

VYUO VIKUU VYATOA MWONGOZO MPYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *