ELIJAH WACIRA: WIZARA YA AFYA YAKOSOLEWA
Hatua ya wizara ya afya kumtimua afisa mkuu mtendaji wa bodi ya bima ya afya Elijah Wacira imeibua hisia mseto, maafisa wa kiliniki wakiwa wa hivi punde kuikosoa wizara hiyo wakisema uamuzi huo si suluhu kwa matatizo yaliyo kwenye bima hiyo.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kitaifa Peterson Wacira, ufisadi umekithiri katika wizara ya afya huku akidai kuwa wizara hiyo imezembea kazini.
Aidha, Wacira amependekeza kuvunjiliwa mbali kwa bodi ya bima ya SHA.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































