JIMMY KIBAKI AJIUZULU KUWA KIONGOZI WA CHAMA CHA THE NEW DEMOCRAT

Mwanawe aliyekuwa rais wa tatu Mwai Kibaki Jimmy Kibaki amejiuzulu kuwa kiongozi wa chama cha the new democrat.
Katika traarifa jimmy amesema ameziuzulu ili kutumia muda wake katika familia na biashara.
Kujiuzulu kwa jimmy kunajiri wakati ambapo kumeanza kuonekana mienendo mipya katika uongozi wa kisiasa eneo la mlima kenya.
Jimmy alijiunga na chama hicho 2021 na akachaguliwa kuwa kiongozi.
Imetayarishwa na: Janice Marete
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































