#Local News

ONGEZEKO LA DHULUMA UASIN GISHU LATINGA WASIWASI

Waathiriwa wa dhuluma katika Kaunti ya Uasin Gishu wanazidi kuteseka, huku Wawakilishi Wadi wa Kike wa Bunge la Kaunti wakilaani vikali kuongezeka kwa visa vya unyanyasaji.

Viongozi hao wanatoa wito kwa wadau wa jamii kushirikiana kukomesha ukatili huu na kuhakikisha waathiriwa wanalindwa dhidi ya madhila zaidi.

Imetayarishwa na Janice Marete

ONGEZEKO LA DHULUMA UASIN GISHU LATINGA WASIWASI

PSG YALAZA LIVERPOOL

ONGEZEKO LA DHULUMA UASIN GISHU LATINGA WASIWASI

SERIKALI YALINDA HAKI NA USALAMA WA WAHAMIAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *