#Local News

RAIS RUTO AFANYA KIKAO NA VIONGOZI WA TURKANA

Rais William Ruto ameendeleza vikao vyake vya mara kwa mara na viongozi wa mashinani kutoka maeneo mbali mbali nchini, ambako analenga kuwafahamisha kuhusu utendakazi wa serikali yake na miradi ya maendeleo ambayo serikali yake imetekeleza katika maeneo hayo.

Mapema leo, rais amekutana na viongozi wa mashinani kutoka kaunti ya Murang’a, muda mfupi baada ya kuwaalika viongozi wa kaunti ya Turkana.

Viongozi wengine waliohudhuria kikao hicho cha Ikulu ni Pamoja na naibu rais Kithure Kindiki, mawaziri, wabunge na wawakilishi wadi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RAIS RUTO AFANYA KIKAO NA VIONGOZI WA TURKANA

DCI YAKANA ‘KUIBA’ DETA ZA WAKENYA

RAIS RUTO AFANYA KIKAO NA VIONGOZI WA TURKANA

MURKOMEN ATETEA ‘JUKWAA LA USALAMA’

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *