#Local News

MARAGA ATAKA POLISI WAFUNZWE KUHUSU HAKI

Pana dharura ya kuwapa maafisa wa polisi mafunzo kuhusu haki za kimsingi za kibinadamu ili kukabili ukiukaji wa haki hizo wakati wa maandamano nchini.

Ni kauli ya aliyekuwa jaji mkuu David Maraga, akizungumza kwenye mahojiano na runinga moja nchini, ambako amekosoa hatua ya polisi kumrushia vitoza machozi alipojitokeza kudai haki kwa familia zilizowapoteza wapendwa wao mikononi mwa polisi.

Aidha, amepuzilia mbali michango ya fedha inyoendelezwa na serikali.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MARAGA ATAKA POLISI WAFUNZWE KUHUSU HAKI

HOFU YA UTEKAJI NYARA WEST POKOT

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *