#Local News

X-SPACE YA RUTO NA GEN Z HAIJASHAURIWA –KIPRUTO ARAP KIRWA

Aliyekuwa Waziri wa Kilimo Kipruto Arap Kirwa amesema kuwa mpango wa Rais William Ruto wa kufanya mkutano katika mtandao wa wa X-Space na Gen Z sio ushauri sawa.

Kwa mujibu wa Kirwa Rais lazima aache kuwa katikati ya kila jambo ambalo haliendi sawa nchini na Kusisisitiza kuwa lazima ajue kuwa hawezi kutatua kila changamoto inayoikabili nchi.

Waziri huyo wa zamani, hata hivyo, amemshauri rais kutafuta njia ambayo serikali inaweza kuwajumuisha vijana katika vyombo vyake.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *