#Local News

HAKIMU STELLA ATAMBO APATA AFUENI YA MUDA

Mahakama Kuu imesitisha kwa muda kesi ya ufisadi dhidi ya Hakimu wa Thika, Stella Atambo, ikizingatia ombi la kupinga uhalali wa mashtaka hayo.

Atambo, kupitia mawakili wake, amedai kesi katika Mahakama Kuu na mahakama ya chini zinahusu masuala tofauti.

Chama cha Mahakimu na Majaji wa Kenya (KMJA) kimeonya kuwa uhuru wa mahakama uko hatarini, kikilaani unyanyasaji na vitisho dhidi ya maafisa wa mahakama, huku kikidai EACC inatumia vibaya mchakato wa kisheria.

Imetayarishwa na Janice Marete

HAKIMU STELLA ATAMBO APATA AFUENI YA MUDA

GAVANA MPYA WA MERU APISHWA

HAKIMU STELLA ATAMBO APATA AFUENI YA MUDA

MSAJILI WA WATU AAGIZWA KUFIKA MBELE YA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *