#Local News

TAHADHARI YA KIPINDUPINDU

Unatakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambao umesababisha vifo vya watu 18 mwezi huu pekee, jumla ya kaunti 6 zikiripoti visa vya mamabukizi ya ugonjwa huo.

Waziri wa afya Aden Duale, amesema kuwa serikali inafanya kila iwezalo kudhibiti ugonjwa huo, visa 379 vikiwa vimerekodiwa tayari.

Miongoni mwa kaunti hini ni Nairobi

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

TAHADHARI YA KIPINDUPINDU

TALAAM KUSALIA NDANI KWA SIKU 15

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *