TAHADHARI YA KIPINDUPINDU
Unatakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ambao umesababisha vifo vya watu 18 mwezi huu pekee, jumla ya kaunti 6 zikiripoti visa vya mamabukizi ya ugonjwa huo.
Waziri wa afya Aden Duale, amesema kuwa serikali inafanya kila iwezalo kudhibiti ugonjwa huo, visa 379 vikiwa vimerekodiwa tayari.
Miongoni mwa kaunti hini ni Nairobi
Imetayrishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































