RUTO ATII SHINIKIZO ZA MSWADA
Hatimaye Rais William Ruto amekataa kutia Saini na kuutupilia mbali mswada wa fedha wa mwaka 2024 baaad ya shinikizo kutoka kwa Wakenya.
Katika hotuba kwa taifa kutoka Ikulu ya Nairobi, Ruto amesema amechukua hatua hiyo kama njia ya kukubaliana na uamuzi wa watu.
Haya yanajiri baada ya wiki nzima ya maandamano yaliyioongoizwa na vijana kutoka na mependekezo ya ushuru wanaosema unawakndamiza.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































