#Athletics #Sports

YEGO HAJAKATA TAMAA

Julius Yego alisema kumaliza kwenye jukwaa kwenye michezo ya olimpiki kutakuwa na manufaa katika maisha yake baada ya kutatizika kufuzu kwa michezo ya mwaka huu.

Yego alilazimika kusubiri hadi dakika za mwisho ili kujipatia nafasi katika michezo yake ya nne ya olympiki huku akikiri kuwa alikuwa amekata tamaa.

Imetayarishwa na Janice Marete

YEGO HAJAKATA TAMAA

THOMAS MULLER ANASTAAFU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *