#Local News

RUTO AVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI

Rais William Ruto amevunja baraza lake la mawaziri na kuwafuta mawaziri wake wote pamoja na mwanasheria mkuu Justin Muturi na kutakiwa kuondoka afisini mara moja.

Akizungumza katika hotuba kwa taifa muda mfupi uliopita, Ruto amesema afisi ya pekee itakayosazwa na ile ya Naibu wake na mkuu wa mawaziri.

Rais amesema amechukua uamuzi huo kufuatia malalamishi ya Wakenya.

Aidha, rais ameahidi kufanya mashauriano ili kubuni kikosiu kitakachomsaidia kuafikia malengo ya serikali yake.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO AVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI

BUNGOMA YAONGOZA KWA AKAUNTI HARAMU- RIPOTI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *