#Local News

SHULE ZATISHIA KUWAREJESHA WANAFUNZI NYUMBANI

Wakuu wa shule za upili nchini wameonya kuhusu uwezekano wa masomo kutatizika muhula huu wa mwisho kutokana na ukosefu wa fedha za kufanikisha uendeshaji wa shughuli shuleni.

Kulingana na wakuu hao, serikali haijatuma asilimia 20 iliyosalia ya mgao wa shule, na huenda wakalazimika kuwarejesha nyumbani wanafunzi.

Sera ya mgao wa masomo inaishinikiza serikali kutoa asilimia 50 ya mgao kwa muhula wa kwanza, asilimia 30 muhula wa pili huku asilimia 20 muhula wa mwisho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SHULE ZATISHIA KUWAREJESHA WANAFUNZI NYUMBANI

SENNE AJIUNGA NA MANCHESTER UNITED 

SHULE ZATISHIA KUWAREJESHA WANAFUNZI NYUMBANI

SAKAJA APONEA MJELEDI WA BUNGE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *