MAAFISA 37 WA POLISI WAHUKUMIWA KWA UKATILI
Waathiriwa wa ukatili unaotekelezwa na maafisa wa polisi wameanza kupata haki, huku maafisa 37 wa polisi wakihukumiwa na kutumikia vifungo mbalimbali gerezani.
Kulingana na mwenyekiti wa Tume ya Kutathmini Utendakazi wa Polisi, Issack Hassan, jumla ya kesi 267 dhidi ya polisi zimewasilishwa kwa tume hiyo, ambapo 106 kati ya hizo tayari zimekamilishwa mahakamani.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































