WALIMU WA CHEKECHEA WALALAMIKIA AJIRA MIEZI MBILI BAADA YA KUPEWA KANDARASI YA KUDUMU
Walimu wa shule za chekechea katika kaunti ya Pokot Magharibu wameibua lalama miezi miwili tu baada ya gavana wa kaunti hiyo Simon Kachapin kuwapa kandarasi ya kudumu.
Kwa mujibu wa katibu mkuu wa muungano wa walimu wa chekechea katika kaunti hiyo Joseph Sarich kndarasi walizopewa walimu hao haziendani na kanuni zilizowekwa na tume ya kuratibu mishahara ya wafanyikazi wa umma SRC.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































