#Local News

ZAIDI YA MILIONI 26 WAKO SHA- DUALE

Serikali imetoa jumla ya shilingi bilioni 59.3 kwa hospitali mbali mbali kupitia bima ya afya ya jamii SHIF kufikia sasa.

Haya ni kulingana na Waziri wa afya Aden Duale, akisema bilioni 29.8 kati ya fedha hizo zimetumwa kwa hospitali za kibinafsi, zile za kaunti zikipokea bilioni 13.7, nyingine zikitumwa kwa hospitali za kitaifa na za kimisheni.

Aidha, amesema wakenya zaidi ya milioni 26 wamesajiliwa kwenye mamlaka ya SHA huku serikali ikiusanya zaidi ya shilingi bilioni 70 kupitia ada wanazolipa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ZAIDI YA MILIONI 26 WAKO SHA- DUALE

MALENGO YA IEBC KABLA YA 2027

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *