#Local News

EACC IMEFELI KUKABILIANA NA UFISADI

Seneta wa kaunti ya nyandarua John Miithu ameelekeza kidole cha lawama kwa tume ya kukabili ufisadi EACC kwa madai kwamba EACC imekuwa kiungo dhaifu katika vita dhidi ya ufisadi.

Kwa mujibu wa Miithu wametuma faili 146 za ufisadi kwa EACC ila hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi ya watuhumiwa na tume hiyo huku akiwataka wahusika katika EACC kuwajibika.

Imetayarishwa na Janice Marete

EACC IMEFELI KUKABILIANA NA UFISADI

MWINAMO AWASUTA GREEN COMMANDOS KWA KULIALIA

EACC IMEFELI KUKABILIANA NA UFISADI

WAWILI WASHTAKIWA KWA MAUAJI ELDORET

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *