KAMISHINA WA TRAFIKI NYAMIRA AWATAKA WAKAAZI KUWA WAANGALIFU BARABARANI

Kamanda wa Trafiki kaunti ya Nyamira Samson Nyamote amewaonya madereva wa magari ya viwanda vya majani chai katika kaunti hiyo dhidi ya kuendesah vibaya magari.
Nyamote amesema sharti madereva wa magari hayo wawe maakini wanapoendesha magari barabarani ili kuepuka ajali za mara kwa mara huku akitoa wito kwa wakaazi kuwa waangalifu zaidi,
Imetayarishwa na Janice Marete