#Local News

KAMISHINA WA TRAFIKI NYAMIRA AWATAKA WAKAAZI KUWA WAANGALIFU  BARABARANI

Kamanda wa Trafiki kaunti ya Nyamira Samson Nyamote amewaonya madereva wa magari ya viwanda vya majani chai katika kaunti hiyo dhidi ya kuendesah vibaya magari.

Nyamote amesema sharti madereva wa magari hayo wawe maakini wanapoendesha magari barabarani ili kuepuka ajali za mara kwa mara huku akitoa wito kwa wakaazi kuwa waangalifu zaidi,

Imetayarishwa na Janice Marete

KAMISHINA WA TRAFIKI NYAMIRA AWATAKA WAKAAZI KUWA WAANGALIFU  BARABARANI

MAN-CITY KUSAJILI WINGA WA BRAZIL SAVINHO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *