#Rugby #Sports

OILERS WAPONGEZWA LICHA YA KUPOTEZA FAINALI KWA KABRAS

Kocha mkuu wa timu ya raga ya Shule ya Upili ya Kakamega ameisifu Menengai Oilers kwa juhudi zao licha ya kupoteza kwa alama 27–26 dhidi ya Kabras RFC katika fainali ya Kenya Cup.

Kocha huyo, Wamanga, alisema ilikuwa mechi ngumu kwa mabingwa watetezi. Aliweka wazi kuwa anatarajia pambano kali zaidi katika fainali ya Kombe la Enterprise, itakayochezwa Jumamosi katika uwanja wa RFUEA.

Imetayarishwa na Janice Marete

OILERS WAPONGEZWA LICHA YA KUPOTEZA FAINALI KWA KABRAS

OKWARO ALENGA KUNG’AA AFCON NA KUINGIA KIKOSI

OILERS WAPONGEZWA LICHA YA KUPOTEZA FAINALI KWA KABRAS

MARUFUKU YA USIKU YATEKELEZWA KAMIU BAADA YA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *