#Local News

KUWA MWALIMU NI MWITO

Walimu nchini wamehimizwa kufanya kazi yao kwa ueledi na kuheshimu walimu wakuu Pamoja na washikadau wengine katika sekta ya elimu ili kuimarisha sekta hiyo.

Robert Soita aliyekuwa afisa wa kutathmini ubora wa elimu eneobunge la Webuye magharibi kaunti ya Bungoma kuwa mwalimu ni mwito na hivyo kazi hiyo inapaswa kutekelexzwa kwa ueledi mkubwa.

Imetayarishwa na Janice Marete

KUWA MWALIMU NI MWITO

MAN U KATIKA NJIA PANDA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *