#Local News

WAKENYA WAMIMINIKA JKIA

Huzuni imetanda katika uwanja waw a ndege wa kimataifa JKIA ambako maelfu ya wakenya wamewasili kusubiri mwili wa Waziri mkuu wa zamani Raila Odinga.

Wengi wa waliowasili wameonekana wakitokwa na machozi, baadhi wakiwa wamevalia nguo zenye picha ya kinara huyo wa ODM.

Matayarisho yanaendelea katika maeneo mbali mbali ambako mwili wa Odinga utapelekwa hii leo yakiwemo majengo ya bunge, bunge likijiandaa kutoa heshima za mwisho hii leo kuanzia saa nne asubuhi hadi usiku wa manane.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKENYA WAMIMINIKA JKIA

OBURU ATEULIWA KUONGOZA ODM

WAKENYA WAMIMINIKA JKIA

FKF YAFUTILIA MBALI LIGI KWA SIKU 7

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *