#Local News

DIG LANGAT KIKAANGONI

Familia ya mwanablogu Albert Ojwang aliyefariki mikononi ma maafisa wa polisi baada ya kukamatwa imeendelea kudai haki ya mwanao, ikiwalaumu polisi kutokana na kifo hicho.

Ikiongozwa na Meshack Ojwang ambaye ni babake kijana huyo, familia hiyo imetilia shaka uwazi kwenye uchunguzi wa kifo hicho, kauli sawa ikishikiliwa na wanaharakati wanaoshinikiza kujiuzulu kwa naibu inspekta mkuu wa polisi Eliud Langat.

Aidha, wanaharakati hao wamemtaka Langat ambaye ndicho chanzo cha kukamatwa kwa Ojwang, ajiondoe kwenye uchunguzi unaoendelea.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

DIG LANGAT KIKAANGONI

MASWALI KUHUSU KIFO CHA OJWANG’

DIG LANGAT KIKAANGONI

UCHUNGUZI WA FIGO WATUA ELDORET

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *