SENETI KUJADILI MSWADA WA FEDHA
Bunge la seneti leo hii linatarajiwa kufanya kikao maalum kujadili baadhi ya mapendekezo katika mswada wa fedha wa mwaka 2024-2025.
Kuligana na mwenyekiti wa kamati hiyo Kimani Kuria maoni ya wakenya yatapewa kipaumbele katika kikao hicho.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































