#Local News

MTOTO WA MIAKA 6 ATEKETEA KAKAMEGA

Polisi katika kaunti ya Kakamega wanachunguza kisa ambapo mvulana mwenye umri wa miaka 6 ameteketea hadi kufa katika nyumba yao mtaani Bukura eneo bunge la Lurambi.

Wakazi wamesema mamake mwathiriwa alimwacha mvulana huyo katika nyumba hiyo na kuelekea katika soko la Bukura kwa biashara zake za kila siku kabla ya kufahamishwa kuhusu kuteketea kwa nyumba yake.

Mwili wa mvulana huyo umepelekwa katika hifadhi ya maiti kwenye hospitali ya rufaa mjini Kakamega.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MTOTO WA MIAKA 6 ATEKETEA KAKAMEGA

JIANDAE KWA MVUA KUBWA, UTABIRI

MTOTO WA MIAKA 6 ATEKETEA KAKAMEGA

MGOMO WA WAHADHIRI WAANZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *