SERIKALI INAWALINDA, KINDIKI
Serikali imewahakikishia wakenya usalama licha ya joto la kisiasa linaloendelea kushuhudiwa nchini kuelekea kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Akizungumza wakati wa hafla ya kuwawezesha akina mama kiuchumi katiika kaunti ya Kitui, Naibu Rais Kithure Kindiki amesema serikali iko macho kuwakabili viongozi wanaowachochea wananchi.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 
































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































