MWANGA WA MWANGAZA WADIDIMIA
Gavana wa kaunti ya Meru Kawira Mwangaza huenda atajipata taabani huku kukiwa na tetesi kwamba baadhi ya wawakilishi wadi wanaandaa hoja ya tatu klumbandua mamlakani baada ya kuponea majaribio ya kumbandua mamlakani ya awali kugonga mwamba.
Wakaazi sasa wakimtaka rais william Ruto kulivunja bunge la kauti ya meru kufuatia tofauti baina ya gavana Mwangaza na wabunge wa kaunti hiyo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































