WAZALIWA WA NJE YA NDOA WAVUNA WASIPOPANDA
Iwapo bunge litapitisha mswada wa sheria ya urithi wa marekebisho wa mwaka wa 2023 watoto waliozaliwa nje ya ndoa watakuwa na haki ya kurithi mali ya baba mzazi.
Mswada huo unaofathiliwa na seneta mteule Veronica Maina unalenga kufanya marekebisho sheria ya urithi ili kuhakikisha mali inagawanywa kwa usawa miongoni mwa Watoto wote wa mzazi wa kiume aliyefariki.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































