IEBC: NYACHAE AKANA ‘MAZOEA’ YA KUJIUZULU
Zoezi la kuwahoji wakenya 11 wanaotaka kuchukua wadhifa wa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC linaendelea, Charles Nyachae akilihakikishia jopo linalomhoji kuwa atatekeleza majukumu yake ipasavyo ili kuhakikisha uchaguzi huru na haki iwapo atapewa wadhifa huo.
Akiwa mbele ya jopo hilo, Nyachae amekanusha uwezekano wake yeye kujiuzulu iwapo atateuliwa, jinsi alivyofanya kutoka mahakama ya haki ya Afrika Mashariki IEBC.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































