#Local News

MGOMO WATATIZA UCHUKUZI KIRINYAGA

Shughuli za uchukuzi zimetatizika katika eneo la Kerugoya kaunti ya Kiriyaga, baada ya wahudumu wa matatu kugoma wakilalamikia hatua ya wamiliki wa magari ya kibinafsi kubeba abiria bila leseni.

Wahudumu hao wameapa kutorejesha magari yao barabarani hadi usimamizi wa kaunti hiyo utakapoingilia kati kutatua mgogoro huo.

Hata hivyo, maafisa wa polisi eneo hilo wamewataka wahudumu hao kurejelea shughuli zao wanaposhughulikia suala hilo

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MGOMO WATATIZA UCHUKUZI KIRINYAGA

KUCO YALAUMU SERIKALI KUHUSU MGOMO WAO

MGOMO WATATIZA UCHUKUZI KIRINYAGA

GACHAGUA AKANA KUJIUNGA NA CHAMA KIPYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *