#International

JESHI LA SUDAN LAAPA KUISAMBARATISHA RSF

Mkuu wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amekataa maridhiano na RSF, akiapa kuisambaratisha.

Hata hivyo, amesema wapiganaji wanaojisalimisha na kuweka silaha chini wanaweza kusamehewa.

Jeshi limedhibiti Soko Libya, eneo muhimu Omdurman, na kudai ushindi Khartoum huku vita hivyo vya miaka miwili vikisababisha baa la njaa na mzozo mbaya wa kibinadamu, na kupelekea zaidi ya watu milioni 12 kukimbia makazi yao.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *