SERIKALI YA KAUNTI YA TRANSNZOIA YAANZISHA MCHAKATO WA KUHIFATHI MAZINGIRA
Serikali ya kaunti ya Transnzoia inaweka mipaka karibu na kingo za mito Pamoja na sehemu zenye chemi chemi ili kupiga jeki juhudi za kuhifathi mazingira.
Waziri wa maji,katika kaunti hiyo Pepela Wanjala ameagiza watu wanaoendesha shughuli za kiliomo katika sehemu hizo kusitisha shughuli hizo mara moja.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































