MAAFISA ZAIDI WA TRAFIKI WATUMWA BARABARANI

Katibu katika wizara ya masuala ya ndani na utawala wa nchi Raymond Omollo, amesema maafisa Zaidi wa trafiki wametumwa katika barabara zote kote nchini kushika doria na kudhibiti msongamano ili kuepusha ajali wanafunzi wanaporejea shuleni kwa muhula wa pili.
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































