KUPPET YAENDELEA KULEMAZA MASOMO
Mamia ya walimu wa shule za upili wameandamana kwa siku 8 hii leo na kulemaza shughuli za masomo kote nchini wakiitaka tume ya kuwaajiri walimu TSC itekeleze mtakaba wa maelewano baina yake na walimu.
Mjini Kisii, walimu hao wamejitokeza katikati yam ji kutoa malalamishi yao ikiwemo kuwaajiri walimu wa JSS, kuwapandisha vyeo walimu waliohitimu na shahada na kuboresha bima yao ya afya.
Aidha, wamemetaka afisa mkuu mtendaji wa TSC Nancy Macharia kung’atuka mamlakani.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































