#Local News

BABU ATETEA KILIMO, UJENZI

Mbunge wa Embakasi East Babu Owino ameionya kamati ya fedha katika bunge la kitaifa dhidi ya kuongeza ushuru kwenye mswada wa kifedha wa mwaka 2025-26, akisema hatua hiyo italemaza sekta ya kilimo na uchumi kwa jumla.

Akizungumza mbele ya kamati hiyo inayoongozwa na mbunge wa Molo Kimani Kuria, Owino ametaja sekta za kilimo, ujenzi na uzalishaji kuwa nguzo za uchumi, na jaribio la kuongeza ushuru kwenye sekta hizo zitaathiri uchumi wa taifa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *