KENYA IMEWEKA MIKAKATI KABAMBE KULINDA DETA ZA WAKENYA MITANDAONI

Rais William ruto amewahakikishia wakenya kwamba serikali yake imeweka mikakati kabambe ili kulinda data ya wakenya mitandaoni.
Akizungumza wakati wa kituo cha kimataifa cha mawasiliano CCI Tatu City eno la ruiru kaunti ya Kiambu, Rais ametaja uzinduzi katika vituo vya kiteknolojia kuwa unalenga kubuni nafasi za ajira kote nchini.