#Local News

NYOKABI MIONGONI MWA WANAOLENGA KUWA MAJAJI

Tume ya huduma za mahakama JSC imewaorodhesha watu 100 atakaohojiwa kujaza nafasi za majaji 20 wa mahakama kuu, akiwemo aliyekuwa mwakilishi wa kike kaunti ya Nyeri Priscilla Nyokabi.

Kupitia notisi, JSC imesema ilipokea maombi 377 kufuatia angazo ililochapisha kabla ya kuwateua 100 hao.

Miongoni mwa walioorodheshwa na majaji wa mahakama za chini wanaolenga kupandishwa ngazi, Pamoja na mawakili.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NYOKABI MIONGONI MWA WANAOLENGA KUWA MAJAJI

FOREST YAWAFUNIKA PORTO, VILLA YAFUNZWA

NYOKABI MIONGONI MWA WANAOLENGA KUWA MAJAJI

SERIKALI YATOA MALIPO YA INUA JAMII

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *