NYOKABI MIONGONI MWA WANAOLENGA KUWA MAJAJI
Tume ya huduma za mahakama JSC imewaorodhesha watu 100 atakaohojiwa kujaza nafasi za majaji 20 wa mahakama kuu, akiwemo aliyekuwa mwakilishi wa kike kaunti ya Nyeri Priscilla Nyokabi.
Kupitia notisi, JSC imesema ilipokea maombi 377 kufuatia angazo ililochapisha kabla ya kuwateua 100 hao.
Miongoni mwa walioorodheshwa na majaji wa mahakama za chini wanaolenga kupandishwa ngazi, Pamoja na mawakili.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































