#Local News

WANAFUNZI WATISHIA KUJIUNGA NA WAHADHIRI KUGOMA

Wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma wametishia kujiunga na wahadhiri wao katika mgomo wa kitaifa iwapo serikali haitatua mgomo wa wahadhiri kufikia leo.

Kulingana na wanafunzi hao, mgomo huo ambao umeingia wiki ya 3 umewaacha bila cha kufanya mbali na kukosa kufundishwa, wakihofia kwamba huenda ukaathiri kalenda ya masomo.

Wahadhiri wanashinikiza serikali iwalipe shilingi bilioni 7.9 za makubaliano ya mwaka 2017-21.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAFUNZI WATISHIA KUJIUNGA NA WAHADHIRI KUGOMA

MAKURUTU WA POLISI KUJUA HATMA LEO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *