SERIKALI IMENUNUA MAGARI KUMI YA KISASA YA KIUSALAMA

Serikali imeyanunua magari kumi ya kiusalama na ya kisasa ili kusaidia katika uparisheni ya kuwakabili wahalifu nchini.
Akiyapokea magari hayo katika bandari ya Mombasa Waziri wa usalama wa ndani ya nchi prof Kithure Kindiki amesema magari hayo yanatazamiwa kupiga jeki oparisheni ya kuwakabili magaidi wa Alshabab katika kaunti ya lam una kaskazini mashariki vile vile wizi wa mifugo katika eneo la kaskazini mwa eneo la bonde la ufa.