#Local News

MKUTANO WA RAIS NA BARAZA JIPYA.

Rais William Ruto na Naibu wake Rigathi Gachagua wamefanya kikao na mawaziri na makatibu wakuu katika Ikulu ya Nairobi, siku chache baada ya kubuniwa kwa baraza jipya la mawaziri.

Wakati wa kikao hicho, Ruto amewaagiza viongozi hao kujiepusha na ufisadi na badala yake kuweka mbele mipango itayobuni nafasi za ajira kwa wakenya.

Aidha, amekariri kuwa lengo la kuwashirikisha viongozi wa upinzani serikalini ni kuliunganisha taifa.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

MKUTANO WA RAIS NA BARAZA JIPYA.

MAWAZIRI KADHAA WAKABIDHIWA AFISI

MKUTANO WA RAIS NA BARAZA JIPYA.

RUTO KUZURU KISII, NYAMIRA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *