WAUGUZI ISIOLO WASITISHA MGOMO
Wakazi wa kaunti ya Isiolo wamepata afueni baada ya wauguzi kutia Saini mkataba wa kurejea kazini na hivyo kutamatisha mgomo wao uliokuwa umesambarataisha huduma za matibabu kwa miezi 2.
Mgomo huo umesitishwa kufuatia mazungumzo kati ya muungano wa wauguzi, bodi ya uajiri wa umma na saerikali ya kaunti hiyo, wauguzi wakitakiwa kurejea kazini kufikia Alhamisi wiki hii.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































