#Local News

DCI KUCHUNGUZA MADAI YA SIMU YA TALAM KUTUMIKA

Idara ya Dci imeagizwa kuchunguza madai ya kutumika kwa simu ya Ocs wa kituo cha central kutuma jumbe za kuitisha fedha kutoka kwa watu tofauti.

Hakimu mkuu katika mahakama ya milimani Benmark Ekhubi ameutaka upande wa mawakili wake Samson Talam kutotumia suala hilo kutia doa kwenye uchunguzi unaoendeshwa na mamlaka ya Ipoa.

Simu yake Talam ilichukuliwa na maafisa wa uchunguzi wa mamlaka hiyo kwa ukaguzi katika uchunguzi unaoendelea katika kifo tata cha mwalimu Albert Ojwang.

Imetayrishwa na Antony Nyonesa

DCI KUCHUNGUZA MADAI YA SIMU YA TALAM KUTUMIKA

EACC YAREJESHA ARDHI YA UMMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *