#uncategorized

UCHUNGUZI WA MAITI ZA KWARE KUREJELEWA LEO

Uchunguzi wa maiti zilizopatikana eneo la taka kware kaunti ya Nairobi utaendelea hii leo baada ya kusitishwa hapo jana ili kuruhusu mamlaka kupiga picha za X-Ray kwenye miili hiyo.

Wanapatholojia wakiongozwa na Johansen Oduori walifanikiwa siku ya jumatatu kufanya uchunguzi wa moja ya miili ambayo imetambuliwa kufikia sasa.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *