#Local News

VIJANA ZAIDI YA 200 KUJIUNGA NA CHUO CHA KIUFUNDI KITALE HUKO TRANSNZOIA

Vijana zaidi ya 200 kutoka wadi ya Waitaluk katika kaunti ya Transnzoia wamehamasishwa na kurtatibiwa kujiunga na chuo cha kiufundi kitale ili kupata ujuzi wa taaluma mbalimbali.

Kwa mujibu wa mwakilishi wa wadi ya waitaluk Lusweti Furaha mpango huo unalenga kusuluhisha tatizo la ukosefu wa ajira nchini huku akikahidi kuwa vijana hao watakapohitimu watapokezwa vifaa vya kuanzisha Maisha yao ya kibiashara.

Imetayarishwa na Janice Marete

VIJANA ZAIDI YA 200 KUJIUNGA NA CHUO CHA KIUFUNDI KITALE HUKO TRANSNZOIA

VIONGOZI WA ODM KAKAMEGA WAMSIFU RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *