#Local News

WAKULIMA WA MAHINDI WAITAKA SERIKALI KUWANUNULIA MAHINDI GUNIA YA KILO 90 KWA SHILINGI 4500

Wakulima katika kaunti ya Transnzoia wametoa wito kwa serikali kununuja mahidi kutoka kwa wakulima ili kuwaondolea thiki ya kupunjwa na walaghai wanaowanunulia gunia moja ya mahidi ya kilo 90 kwa shilingi 2500.

Wakulima hao sasa wanaishinikiza serikali kupandisha bei ya mahindi ya gunia moja ya kilo 90 kutoka 4000 hadi 4500.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAKULIMA WA MAHINDI WAITAKA SERIKALI KUWANUNULIA MAHINDI GUNIA YA KILO 90 KWA SHILINGI 4500

WAZIRI WA FEDHA WA KAUNTI YA KISUMU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *