#Local News

MAGEUZI YATOKOTA, AZIMIO YATANGAZA

Mageuzi yanatarajiwa katika ulingo wa kisiasa nchini hivi karibuni baada ya kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka na mwenzake wa DAPK Eugene wamalwa kutangaza kujiondoa kwenye muungano wa Azimio na kubuni muungano tofauti wa upinzani kabla ya mwaka ujao.

Kulingana nao, huenda Musyoka akawa kinara wa muungano huo, na kuongeza kuwa lengo lao ni kutoa uongozi mbadala nchini.

Aidha, wamehimiza mshikamano miongoni mwa wanachama wa Azimio.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAGEUZI YATOKOTA, AZIMIO YATANGAZA

WASIMAMIZI WA KCSE WEBUYE WAONYWA

MAGEUZI YATOKOTA, AZIMIO YATANGAZA

TIMIZENI AHADI, WALIMU KWA SERIKALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *