WAZIRI WA AFYA KAUNTI YA TRANSNZOIA AWATAKA VIONGOZI KUTOINGIZA SIASA KATIKA MASWALA YA AFYA

Waziri wa afya wa kaunti ya Transnzoia Sam Ojwang ametoa wito kwa viongozi wa kaunti hiyo kutoingiza siasa katika swala la afya na badala yake kushiriki mazungumzo na uongozi wa kaunti ili kujboresha sekta hiyo.
Kwa mujibu wa Ojwang kushirikian kutahakikiksha kwamba mamlaka ya kusambaza dawa na vifaa vya matibabu KEMSA inasambaza dawa katika vituo vyote vya afya na kwa wakati ufaao.
Imetayarishwa na Janice Marete