WAHADHIRI WA VYUO VIKUU WAMEKATAA KUSITISHA MGOMO WAO
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi wa vyuo vikuu na wahadhiri UASU na kusu wamesema kuwa mgomo wao unaendelea hadi pale serikali itakapo walipa pesa wanazodai . viongozi hao wametoa tangazo hilo baada ya kukosa kuafikiana kwenye mkutano wao na serikali, na mgomo huo ukiendelea kwa siku 45 sasa wanafunzi wakitishia kuandamana kote nchini Kwa mujibu wa mkataba wao wa makubaliano ni kwamba wahadhiri wanaidai serikali shilingi […]
English 

















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































